iqna

IQNA

sura yasin
Sura za Qur’ani Tukufu / 36
TEHRAN (IQNA) – Kuna masuala na mada tofauti tofauti zilizotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu, huku zile kuu na muhimu zikihusiana na kanuni tatu za dini, yaani Tauhidi, Utume na Ufufuo.
Habari ID: 3475996    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

Imebainika kuwa Sura Yassin katika Qur’ani Tukufu moja ya njia muafaka za kutibu ugonjwa kupoteza fahamu au Alzheimer.
Habari ID: 3470190    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/10